Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

MUDA SAHIHI WA MTU KUFANYA MAZOEZI

 MAZOEZI

• • • • •

MUDA SAHIHI WA MTU KUFANYA MAZOEZI

 

Kwanza kabsa, kufanya mazoezi ni muhimu sana kwa afya yako, na moja ya Faida kubwa za kufanya mazoezi ni pamoja na;

 

✓ Kuimarisha kinga ya mwili na kukukinga dhidi ya magonjwa ambukizi

 

✓ Kukuepusha na magonjwa sugu kama vile; Presha,kisukari,magonjwa ya moyo n.k

 

✓ Mazoezi huleta furaha na kukuepusha na msongo wa mawazo

 

✓ Mazoezi huimarisha mzunguko wa damu na kusababisha vidonda kupona kwa haraka zaidi

 

✓ mazoezi husaidia sana kwa watu wenye tatizo la uzito mkubwa au wanene kupita kiasi

N.k

 

MUDA SAHIHI WA MTU KUFANYA MAZOEZI

 

– Inashauriwa mtu kufanya mazoezi angalau kuanzia Muda wa Nusu Saa au dakika 30 Kila siku,

 

Na watu wengi hupenda kufanya mazoezi wakati wa Asubuhi au Jioni, vyovyote ni sawa tu kulingana na ratiba yako

 

 

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

 

 

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.