Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

MAELEKEZO: Jinsi ya Kufanya Booking Mtandaoni kupata chanjo ya Uviko 19(COVID-19)

 UVIKO-19

• • • • • •

MAELEKEZO: Jinsi ya Kufanya Booking Mtandaoni kupata chanjo ya Uviko 19(COVID-19)

 

Baada ya Wizara ya Afya nchini Tanzania kuweka wazi utaratibu wa Jinsi ya Kufanya Booking Mtandaoni kupata chanjo ya Uviko 19 au COVID-19, Haya hapa ni maelekezo machache ya jinsi ya kufanya pamoja na vitu vya kuzingatia.

 

VITU VYA KUZINGATIA;

 

– Kabla ya Kuanza Kufanya Booking ya Uviko 19 Mtandaoni,unatakiwa kuwa na vitu hivi hapa;

 

• Andaa kitambulisho chochote kati ya Hivi hapa

 

✓ Kitambulisho cha Taifa yaani NIDA

 

✓ Kitambulisho cha Mpiga kura yaani VOTERS ID

 

✓ Leseni yako ya Udereva yaani Drivers License 

 

✓ Passport ya Kusafiria

 

• Baada ya hapo ingia kwenye TOVUTI ili kuanza kufanya booking kupitia Link hii hapa chini

 

Bofya hapa: LINK

 

Kisha fuata Maelekezo yote kwenye Tovuti husika hapo juu kutokana na maelekezo ambayo utapewa.

 

KWA MAELEKEZO ZAIDI YA WIZARA YA AFYA:

 

• Simu no: +255242231614

 

• Tovuti(Website): www.mohz.go.tz

 

• Barua pepe: Info@mohz.go.tz

 

 

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.