Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

MADHARA YA MAGADI,BAKING SODA KWA MJAMZITO

MADHARA YA MAGADI,BAKING SODA KWA MJAMZITO

Kuna maneno mengi mtaani kuhusu matumizi ya hivi vitu Magadi au Soda ash,Baking Soda n.k kwa mama mjamzito,

Kwa leo nigusie kuhusu matumizi ya Baking Soda kwa mama mjamzito,

KUMBUKA; Shida ya kiungulia yaani heartburn huwatesa sana wanawake wengi wakiwa wajawazito kutokana na mabadiliko mbali mbali mwilini yakiwemo ya vichocheo vya mwili yaani Hormones.

Kutokana na shida hii ya Kiungulia wengi hukimbilia matumizi ya Vitu kama Baking Soda,Magadi n.k,

Matumizi ya vitu hivi sio shida sana,tatizo linakuja kwenye kiwango cha matumizi yake,

Unatakiwa utumie vitu hivi kwa kiwango kidogo sana, Unavyotumia Baking Soda wakati wa ujauzito, hakikisha kiwango kinakuwa kidogo sana na Pia inachanganyika kabsa yaani Completely dissolve.

Hii ni kutokana na kwamba Sodium iliyopo ndani ya Baking Soda, huweza kupelekea shida ya Water retention, ndyo mana hushauriwi kutumia kabsa kama tayari una shida ya kuvimba Miguu.

INGAWA,Baking Soda ni Antacid nzuri kupunguza shida ya Kiungulia,Kama ukitumia kwa kiwango kikubwa sio salama kwa afya yako.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.