HATARI YA WATOTO KUMEZA SHILINGI
HATARI YA WATOTO KUMEZA SHILINGI
Wazazi wengi au walezi wamekuwa wakiwaacha watoto wadogo kuchezea hela za sarafu au shilingi,
bila kujua kwamba ni hatari sana kwa watoto wadogo hasa pale wanapozimeza
watoto wengi wamekuwa wakilazwa mahospitalini,
na hata wengine kufikia hatua ya kufanyiwa upasuaji,
kwa sababu hii ya kumeza shilingi
Kuwa muangalifu na mtoto wako,msiwape watoto wadogo hela za sarafu au shilingi ili wachezee,
Wapeni vitu vingine kama midoli ya watoto,mipira ya watoto,magari,ndege za watoto n.k
Sio sarafu/shiling,visu,sindano,nyembe,au vitu vyovyote vya ncha kali