FAIDA YA KULALA UBAVU
FAIDA YA KULALA UBAVU
Bila shaka unaweza kuwa miongoni mwa watu ambao wanasikia sana kuhusu
Swala la Mama mjamzito kulala ubavu hasa ubavu wake wa kushoto,
Wakina mama wengi wajawazito wamekuwa wakisisitizwa kulalia ubavu,
Je unajua kwamba faida za kulala ubavu sio kwa mama mjamzito peke yake?
FAIDA ZA KULALA UBAVU
Hizi hapa ni baadhi ya Faida za Kulala Ubavu kwa mtu yoyote yule;
• Kulala ubavu kusaidia kuzuia tatizo la mtu kukoroma akiwa usingizini
• Kulala ubavu husaidia sana kuzuia maumivu ya Chembe ya Moyo
• Pia tafiti zinaonyesha kwamba,kulala ubavu huimarisha afya ya ubongo.
Fanya hivi kwa ajili ya afya yako…!!!