VIPIMO VYA MAGONJWA
VIPIMO VYA MAGONJWA
Kuwa na desturi ya kufanya vipimo vya magonjwa mbali mbali ni msaada na kinga kubwa,
hii itakusaidia kujikinga na magonjwa kabla ya kutokea,
Pamoja na kutibu magonjwa baada ya kugundulika mapema,
kumbuka magonjwa mengi ukichelewa kuyagundua na kuanza tiba,
ndipo huleta madhara makubwa zaidi,na wakati mwingine hata kusababisha vifo.
Umuhimu wa kufanya vipimo; Utakusaidia kugundua tatizo kwa haraka pamoja na kupata tiba sahihi inayoendana na tatizo lako,
Hivo matibabu sahihi hutegemea kwa asilimia 100% vipimo sahihi.
Tujenge desturi ya kufanya vipimo vya magonjwa mara kwa mara,ili kupata tiba sahihi