Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Dalili hizi huweza kuashiria Shida kwenye Mapafu

Dalili hizi huweza kuashiria Shida kwenye Mapafu,

– Mtu kupata maumivu makali ya kifua

– Mtu kuanza kukohoa kikohozi kikavu sana

– Mtu kukosa pumzi au kupata shida sana wakati wa kupumua

– Mtu kushindwa kupumua kwa urahisi yaani Orthopnea mpaka awe amesimama ndyo hupata unafuu n.k

NB: Orthopnea ni hali ya mtu kushindwa kupumua akiwa amelala chini(lying down),

Hii hutokea sana kwa watu wenye matatizo ya moyo pamoja na Mapafu

Hizi ni Dalili za matatizo mbali mbali ambayo huhusisha Mapafu, kama vile shida ya kujaa maji kwenye mapafu yaani kwa kitaalam PLEURAL EFFUSION n.k

Hivo ukipata dalili kama hizi Nenda hospital Kufanya VIPIMO zaidi.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.