Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Bila Maji hakuna Maisha, ni muhimu sana kupata Maji safi na Salama

Bila Maji hakuna Maisha, ni muhimu sana kupata Maji safi na Salama,

Uchafuzi wa Mazingira pamoja na kukosa Maji Safi ni chanzo kikubwa cha watu kuendelea kupata magonjwa mbali mbali kama vile;

• Ugonjwa wa Kipindupindu

• Shida ya kuharisha kila Mara

• Ugonjwa wa homa ya matumbo,typhoid

• Maambukizi ya Hepatitis A n.k

Watu kuumwa matumbo kila mara,kuharisha,kutapika, kupata UTI za Mara kwa mara,

Na wakati mwingine magonjwa kama Fangasi n.k, kutokana na uchafu.

Hivo moja ya Vitu vya Kuzingatia ili kujikinga na magonjwa mbali mbali kama nilivyoorodhesha hapo juu, ni Swala la Usafi wa Mazingira pamoja na kuhakikisha Unapata maji SAFI na SALAMA kila wakati.

Kwa Mujibu wa WHO; Inakadiriwa watu bilioni 2, robo moja ya watu duniani, hawana maji safi ya kunywa

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.