Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

Ugonjwa wa kuota Nyama,Plexiform neurofibroma ni Ugonjwa wa Aina gani? Soma hapa

Ugonjwa wa kuota Nyama,Plexiform neurofibroma ni Ugonjwa wa Aina gani? Soma hapa

Plexiform neurofibromas ni aina ya Uvimbe ambao huota pembezoni mwa Neva, Na hii ndyo chanzo cha Jina Lake,

-“neuro” maana yake nerves, na “fibroma” ni aina ya Uvimbe(tumor).

Aina hii ya Uvimbe ambao hukua, huwa na Nerve tissue pamoja na aina mbali mbali nyingi za Seli ndani yake,

Na aina hii ya Uvimbe au Nyama huweza kutokea ndani ya Mwili au chini tu kwenye ngozi yako.

Plexiform neurofibromas ni aina ya benign tumors tu lakini wakati mwingine huweza kugeuka na kuwa Saratani/cancer,

Na wakati tumors hizi zikiwa Saratani hujulikana kama malignant peripheral nerve sheath tumors (MPNST).

UVIMBE HUU AU NYAMA HIZI HUWEZA KUOTA MAENEO YAPI?

Nyama hizi huweza kuota maeneo mbali mbali kama vile;

– Usoni, na mara nyingi huanzia kuzunguka eneo la macho

– Shingoni

– Kwenye Miguu na Mikono

– Maeneo ya Mgongoni na Kifuani

– Maeneo ya tumboni N.k

KUMBUKA; Tatizo la Kuota nyama au Plexiform neurofibromas huweza kuondolewa kwa Njia mbali mbali ikiwemo Upasuaji,

ila wakati mwingine nyama hizi huweza kurudi kuwa normal tissues kadri zinavyokuwa, hali ambayo huweza kupelekea kuwa vigumu hata kufanya Upasuaji.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.