Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Siku ya Shinikizo la damu duniani,Shinikizo la damu na kushindwa kwa moyo

Siku ya Shinikizo la damu duniani,

Shinikizo la damu limetajwa kuwa chanzo cha magonjwa mengi yanayohusiana na kushindwa kwa moyo.

Shinikizo la damu limetajwa kuwa chanzo cha magonjwa mengi yanayohusiana na kushindwa kwa moyo kufanya kazi yake. Shirika la afya duniani, WHO linaeleza kuwa mtu mmoja kati ya watu wazima watatu ana shinikizo la damu,

na wengi wao hawajitambui kwa kuwa ni mara chache dalili kujitokeza.

Na zaidi ya yote nusu ya vifo vitokanavyo na magonjwa ya moyo au kiharusi hutokana na shinikizo la damu na mwelekeo ni kwamba hali itazidi kuwa mbaya iwapo hatua hazitachukuliwa.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.