Ugonjwa wa degedege kwa watoto wachanga
Ugonjwa wa degedege kwa watoto wachanga
Tatizo la degedege kwa Watoto wachanga hutokea wakati mlipuko usio wa kawaida wa shughuli za umeme hutokea ndani ya neurons, au seli za ubongo, kwenye ubongo wa mtoto,
Ishara na dalili za Tatizo la degedege kwa Watoto wachanga ni pamoja na;
Mtoto kuzungusha jicho, kubana misuli, na kuweka kichwa au macho upande mmoja. Hata hivo tatizo la Degedege kwa watoto wachanga huweza kusababishwa na maambukizi ya magonjwa mbali mbali pamoja na sababu zingine.
Chanzo cha tatizo la Degedege kwa watoto wachanga
Sababu za tatizo la Degedege kwa watoto wachanga zinaweza kujumuisha;
- majeraha kwenye ubongo,
- maambukizi ya magonjwa mbali mbali,
- Pamoja na hali zingine za kiafya, kama vile kupooza kwa ubongo n.k.
Hatari ya mtoto kupata tatizo la Degedege kutokana na homa huwa juu zaidi akiwa na umri wa chini ya miezi 18.
Dalil za Tatizo la degedege kwa Watoto wachanga
Dalili ambazo mtoto hupata hutegemea na aina ya degedege alionayo, Zipo aina mbali mbali za degedege kama vile;
- Subtle seizures
- Tonic seizures
- Clonic seizures
- Tonic-clonic seizures n.k
Kwa Ujumla dalili za Tatizo la degedege kwa Watoto wachanga ni Pamoja na;
– Mtoto kupepesa macho(eye-rolling, blinking, staring)
– Kugeuza macho pasipo udhibiti wake
– Kutoa ulimi nje
– kuzungusha miguu
– Mwili kukakamaa
– Kukunja mikono na miguu
– Kuelekeza kichwa Upande mmoja
– Kuelekeza macho upande mmoja
– Mtoto kujikunja sehemu mbali mbali za mwili wake ikiwemo;
- Miguu
- Mikono au viganja vya mikono
- Uso
- Ulimi n.k
Mtoto anapokuwa na degedege, ni muhimu kumweka mbali na vitu vyovyote vigumu ili kupunguza hatari ya kuumia.
Matibabu ya Tatizo la degedege kwa Watoto wachanga
Ukiona dalili kama hizo hapo juu hakikisha mtoto wako anapata msaada wa Matibabu kwa haraka zaidi.
AU KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.
FAQs: Maswali ambayo huulizwa mara kwa mara
Je, Ugonjwa wa Degedege kwa watoto una dalili zipi?
Dalili za Tatizo la degedege kwa Watoto wachanga ni Pamoja na;
– Mtoto kupepesa macho(eye-rolling, blinking, staring)
– Kugeuza macho pasipo udhibiti wake
– Kutoa ulimi nje
– kuzungusha miguu
– Mwili kukakamaa
– Kukunja mikono na miguu
– Kuelekeza kichwa Upande mmoja
– Kuelekeza macho upande mmoja
– Mtoto kujikunja sehemu mbali mbali za mwili wake ikiwemo;
- Miguu
- Mikono au viganja vya mikono
- Uso
- Ulimi n.k
Hitimisho
Tatizo la degedege kwa Watoto wachanga hutokea wakati mlipuko usio wa kawaida wa shughuli za umeme hutokea ndani ya neurons, au seli za ubongo, kwenye ubongo wa mtoto,
Kwa Ujumla dalili za Tatizo la degedege kwa Watoto wachanga ni Pamoja na;
– Mtoto kupepesa macho(eye-rolling, blinking, staring)
– Kugeuza macho pasipo udhibiti wake
– Kutoa ulimi nje
– kuzungusha miguu
– Mwili kukakamaa
– Kukunja mikono na miguu
– Kuelekeza kichwa Upande mmoja
– Kuelekeza macho upande mmoja
– Mtoto kujikunja sehemu mbali mbali za mwili wake ikiwemo;
- Miguu
- Mikono au viganja vya mikono
- Uso
- Ulimi n.k
Ukiona dalili kama hizo hapo juu hakikisha mtoto wako anapata msaada wa Matibabu kwa haraka zaidi.