Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

Ugonjwa wa degedege kwa watoto wachanga

Ugonjwa wa degedege kwa watoto wachanga

Tatizo la degedege kwa Watoto wachanga hutokea wakati mlipuko usio wa kawaida wa shughuli za umeme hutokea ndani ya neurons, au seli za ubongo, kwenye ubongo wa mtoto,

Ishara na dalili za Tatizo la degedege kwa Watoto wachanga ni pamoja na;

Mtoto kuzungusha jicho, kubana misuli, na kuweka kichwa au macho upande mmoja. Hata hivo tatizo la Degedege kwa watoto wachanga huweza kusababishwa na maambukizi ya magonjwa mbali mbali pamoja na sababu zingine.

Chanzo cha tatizo la Degedege kwa watoto wachanga

Sababu za tatizo la Degedege kwa watoto wachanga zinaweza kujumuisha;

  • majeraha kwenye ubongo,
  • maambukizi ya magonjwa mbali mbali,
  • Pamoja na hali zingine za kiafya, kama vile kupooza kwa ubongo n.k.

Hatari ya mtoto kupata tatizo la Degedege kutokana na homa huwa juu zaidi akiwa na umri wa chini ya miezi 18.

Dalil za Tatizo la degedege kwa Watoto wachanga

Dalili ambazo mtoto hupata hutegemea na aina ya degedege alionayo, Zipo aina mbali mbali za degedege kama vile;

  1. Subtle seizures
  2. Tonic seizures
  3. Clonic seizures
  4. Tonic-clonic seizures n.k

Kwa Ujumla dalili za Tatizo la degedege kwa Watoto wachanga ni Pamoja na;

– Mtoto kupepesa macho(eye-rolling, blinking, staring)

– Kugeuza macho pasipo udhibiti wake

– Kutoa ulimi nje

–  kuzungusha miguu

– Mwili kukakamaa

– Kukunja mikono na miguu

– Kuelekeza kichwa Upande mmoja

– Kuelekeza macho upande mmoja

– Mtoto kujikunja sehemu mbali mbali za mwili wake ikiwemo;

  • Miguu
  • Mikono au viganja vya mikono
  • Uso
  • Ulimi n.k

Mtoto anapokuwa na degedege, ni muhimu kumweka mbali na vitu vyovyote vigumu ili kupunguza hatari ya kuumia.

Matibabu ya Tatizo la degedege kwa Watoto wachanga

Ukiona dalili kama hizo hapo juu hakikisha mtoto wako anapata msaada wa Matibabu kwa haraka zaidi.

AU KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

FAQs: Maswali ambayo huulizwa mara kwa mara

Je, Ugonjwa wa Degedege kwa watoto una dalili zipi?

Dalili za Tatizo la degedege kwa Watoto wachanga ni Pamoja na;

– Mtoto kupepesa macho(eye-rolling, blinking, staring)

– Kugeuza macho pasipo udhibiti wake

– Kutoa ulimi nje

–  kuzungusha miguu

– Mwili kukakamaa

– Kukunja mikono na miguu

– Kuelekeza kichwa Upande mmoja

– Kuelekeza macho upande mmoja

– Mtoto kujikunja sehemu mbali mbali za mwili wake ikiwemo;

  • Miguu
  • Mikono au viganja vya mikono
  • Uso
  • Ulimi n.k

Hitimisho

Tatizo la degedege kwa Watoto wachanga hutokea wakati mlipuko usio wa kawaida wa shughuli za umeme hutokea ndani ya neurons, au seli za ubongo, kwenye ubongo wa mtoto,

Kwa Ujumla dalili za Tatizo la degedege kwa Watoto wachanga ni Pamoja na;

– Mtoto kupepesa macho(eye-rolling, blinking, staring)

– Kugeuza macho pasipo udhibiti wake

– Kutoa ulimi nje

–  kuzungusha miguu

– Mwili kukakamaa

– Kukunja mikono na miguu

– Kuelekeza kichwa Upande mmoja

– Kuelekeza macho upande mmoja

– Mtoto kujikunja sehemu mbali mbali za mwili wake ikiwemo;

  • Miguu
  • Mikono au viganja vya mikono
  • Uso
  • Ulimi n.k

Ukiona dalili kama hizo hapo juu hakikisha mtoto wako anapata msaada wa Matibabu kwa haraka zaidi.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.