Ghana imepiga hatua kubwa katika mapambano dhidi ya #VVU, kwa kuzindua vipimo vya kujipima VVU
Ghana imepiga hatua kubwa katika mapambano dhidi ya #VVU, kwa kuzindua vipimo vya kujipima VVU(HIV self-testing kit).
Shirika la Afya Duniani(WHO) linapendekeza matumizi ya Vipimo vya Kujipima HIV kwa mtu binafsi yaani HIV self-testing, hapa tunazungumzia vipimo ambavyo unaweza kujipima wewe peke yako,
WHO inapendeza matumizi ya Vipimo hivi kama njia bora na muhimu ya kushughulikia pengo lililopo katika uchunguzi wa VVU,
ikiwa ni pamoja na uchunguzi wa VVU miongoni mwa watu muhimu na makundi yaliyo katika hatari Zaidi.
Ghana takes a major step in the fight against #HIV, with the launch of the HIV self-testing kit.@WHO recommends HIV self-testing as an important approach to address gaps in HIV diagnoses including among key populations and vulnerable groups. pic.twitter.com/Iexh6KrQdf
— WHO Ghana (@WHOGhana) July 20, 2023