Viashiria vya Ugonjwa wa surua Pamoja na utapiamlo kwa watoto, miongoni mwa zaidi ya Watu 140,000 jimbo la White Nile Sudan
Mpaka Sasa,Zaidi ya watu 140,000 wengi wao wakiwa raia wa Sudan Kusini wamewasili katika jimbo la White Nile tangu mzozo ulipozuka nchini #Sudan.
Na kwenye baadhi ya Kambi ambako watu wanajihifadhi wamezidiwa, huku kukiwa na Viashiria vya Ugonjwa wa surua Pamoja na utapiamlo miongoni mwa watoto.
Over 140,000 people, mostly South Sudanese, have arrived in White Nile state since conflict broke out in #Sudan.@MSF teams working in some camps where people are taking shelter are overwhelmed, with cases of suspected #measles and #malnutrition among children.
Thread 🧵⬇️ pic.twitter.com/aYIakyPvbx
— MSF East Africa (@MSF_EastAfrica) July 27, 2023