Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Kundi la Taliban: Mwanamke akiwa uso wazi thamani yake inashuka

Kundi la Taliban limewahimiza Wanawake nchini Afghanistan kufunika nyuso zao wakiwa nje ya nyumba zao huku likisema Mwanamke akiwa uso wazi thamani yake inashuka.

@DW_Kiswahili imeripoti kuwa Msemaji wa Wizara muhimu katika Serikali ya Taliban huko Afghanistan amesema Wanawake hupoteza thamani pale Wanaume wanapoziona nyuso zao zilizofunuliwa hadharani.

Amesema kidini Wasomi nchini humo wanakubaliana kwamba Mwanamke ni lazima afunike uso wake akiwa nje ya nyumba.

Molvi Mohammad Sadiq Akif, Msemaji wa Wizara ya Taliban yenye kuhusika na masuala ya jamii amesema ikiwa nyuso za Wanawake zitaonekana hadharani kuna uwezekano wa kusababisha fitina au kuanguka katika dhambi.

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.