Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Mtoto kuchomwa na maji ya moto kisa kudokoa mboga ya chainizi

Jeshi la polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia Maneno Thomas (35) mkazi wa Chamgati wilaya ya Sengerema kwa tuhuma za kumchoma kwa maji ya moto mikono yote mtoto wake akimtuhumu kudokoa mboga ya majani aina ya chainizi.

Inadaiwa siku ya tukio mtuhumiwa alifika nyumbani akaomba apikiwe chakula ndipo aliambiwa mboga imeisha ndipo akachemsha maji kisha kumwagia mikono yote. Mboga hiyo ililiwa na mtoto huyo aitwaye Daniel Maneno.

Baada ya tukio hilo mtuhumiwa alimficha mwanae huyo katika chumba, kabla ya wananchi kupata taarifa na kusaidia kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.