Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Rais Joko Widodo wa Indonesia amewasili nchini kuanza ziara ya kikazi ya siku mbili

Katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam, Rais Widodo amepokelewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt.Stergomena Tax na maafisa wengine wa Serikali.

Ziara hiyo ya Rais wa Indonesia nchini Tanzania inalenga kuimarisha maeneo mapya ya ushirikiano baina ya nchi hizo ikiwa ni.pamoja na biashara, nishati, afya, kilimo, madini, elimu na uhamiaji.

Akiwa nchini Rais Widodo pamoja na mambo.mengine atakuwa na mazungumzo na mwenyeji wake Rais Samia.Suluhu Hassan Ikulu, Dar es Salaam.

Pia atashuhudia kusainiwa kwa hati kadhaa za makubaliano zinazolenga kuimarisha Diplomasia ya uchumi baina ya Tanzania na Indonesia.

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.