News
India imefanikiwa kuzindua misheni yake ya kwanza ya kutazama Jua
India imefanikiwa kuzindua misheni yake ya kwanza ya kutazama Jua.
Inakuja siku chache baada ya nchi hiyo kuweka historia kwa kutua karibu na ncha ya kusini ya Mwezi.
Aditya-L1 itakuwa kilomita milioni 1.5 (maili milioni 93) kutoka kwa Dunia, ambayo ni 1% tu ya umbali kati ya Dunia na Jua.
Shirika la anga za juu la India lilisema itachukua miezi minne kusafiri umbali huo.