Β  Β 

Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

KENYA;Zaidi ya watu milioni 1.6 wapewa chanjo ya kipindupindu

KENYA;Zaidi ya watu milioni 1.6 wapewa chanjo ya kuzuia Ugonjwa wa kipindupindu:

Kwa Mujibu wa Wizara ya Afya nchini Kenya;

Zaidi ya watu milioni 1.6 walichanjwa katika kampeni ya hivi punde ya chanjo dhidi ya ugonjwa wa kipindupindu,

na watoto milioni 1.95 walichanjwa katika kampeni ya polio.

Wizara ya afya nchini kenya inasema;

“Kampeni zetu za hivi majuzi zimepata matokeo mazuri – zaidi ya watu milioni 1.6 walichanjwa katika kampeni ya kipindupindu na watoto milioni 1.95 walichanjwa katika kampeni ya polio”.

“????? ?? ?????? ?????????? ??????? ?? ??? ?????? ??????? ??????? ??? ?????.
Our recent campaigns have achieved remarkable results – over 1.6 million vaccinated in cholera campaign and 1.95 million children vaccinated in polio campaign”.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.