News
Leo ni KUMBUKUMBU ya Shambulio la Septemba 11 nchini Marekani
KUMBUKUMBU: Shambulio la tarehe 11 Septemba 2001 nchini Marekani
Tarehe 11 Septemba 2001 ni tarehe na mwaka uliotokea mashambulio manne ya pamoja yaliyofanywa na kikosi cha Kigaidi cha al-Qaida dhidi ya Marekani.
Kwa mujibu wa taarifa za maofisa, yasemekana kwamba kikosi cha Al-Qaida waliziteka nyala ndege nne wakazitumia kama silaha wakigongesha ndege katika majengo mjini New York na Washington DC kwa makusudi.
Karibuni watu 3,000 walipoteza maisha katika shambulio hilo.