Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Maadhimisho Ya Siku Ya Kuzuia Kujiua Duniani Septemba 10,2023

Maadhimisho Ya Siku Ya Kuzuia Kujiua Duniani Septemba 10,2023.

Katika siku za hivi karibuni pamekuwa na ongezeko la watu wenye msongo wa mawazo ,woga, wasiwasi, kote ulimwenguni.

Unyanyasaji wa Kijinsia katika jamii, mitindo na changamoto za kukabiliana na maisha zinachangia sana kuathiri Afya ya akili kwa watu wengi na kupelekea kujiingiza katika matumizi ya vilevi kupita kiasi,kukata tamaa ya kuishi, hisia za kutaka kujiumiza.

Kulingana na Shirika la Afya Duniani(WHO), watu 3000 hujiua Kila siku duniani.

Ili kukabiliana na changamoto hii, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaungana na nchi nyingine duniani kuadhimisha siku ya Kuzuia Kujiua kila ifikapo Septemba 10 kila mwaka.

Lengo la Maadhimisho haya ni kuongeza Elimu na uelewa kwa Jamii kuhusu Kinga juu ya Matukio ya kujiua na kupunguza unyanyapaa kwa Jamii ya watu walioathirika.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.