News
Nyakati Muhimu za Kunawa Mikono
Nyakati Muhimu za Kunawa Mikono
1.Baada ya kutoka chooni.
2.Kabla na baada ya kula.
3.Kabla ya kumnyonyesha au kumlisha mtoto.
4.Kabla ya kuandaa Matunda na mbogamboga.
5.Kabla na baada ya kuaanda chakula
6.Baada ya kumsafisha mtoto aliyejisaidia.
7.Baada ya kumhudumia mgonjwa.