Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Yanga Yatamba kushika nafasi ya tatu Afrika

Pande zote kulia na kushoto kuna tambo za Wananchi @alikamwe na @privaldinho kuhusu orodha ya IFFHS inayoonesha kuwa Yanga imeshika namba 3 kwenye Club za Afrika ambapo Priva yeye ameandika ——> “Wakati IFFHS inatoa hizi takwimu hapo awali zilitrend sana, sasa sielewi kwann mmetelekeza takwimu zao za hivi karibuni au hazijawapendeza?”

Alikamwe yeye anasema ———> “Shirikisho la kimataifa la kutunza Takwimu na Historia za mpira wa miguu Duniani ‘IFFHS’ Limetoa Orodha ya timu bora Afrika Hivi sasa ?

Wananchi @yangasc Tumeshika nafasi ya 3️⃣ Na ndio Klabu Pekee Afrika Mashariki na Kati iliyoingia kwenye 10 Bora.

Nb: Takwimu za IFFHS zinatunzwa pia kwenye rekodi za Shirikisho la Mpira wa miguu Duniani ‘FIFA’?”

 

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.