Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Marekani yaidhinisha chanjo ya Chikungunya

Maafisa wa afya nchini Marekani wameidhinisha kwa mara ya kwanza ulimwenguni chanjo dhidi ya homa ya Chikungunya.

Mbu anaesababisha magonjwa kwa binaadamu kama Malaria na Chikungunya

Kulingana na mamlaka inayosimamia chakula na dawa (FDA) ya marekani, chanjo hiyo ambayo imepewa jina la Ixchiq iliyotengenezwa na kampuni ya Ulaya, Valneva, imeidhinishwa kutolewa kwa watu wenye umri wa kuanzia miaka 18 na zaidi walioko katika hatari kubwa ya kuambukizwa.

Uidhinishwaji wa chanjo hiyo unatarajiwa kuharakisha usambazwaji wa dozi za chanjo hiyo katika nchi ambazo virusi hivyo vimeenea zaidi hasa Afrika, kusini mashariki mwa Asia na nchi za Amerika.

Chikungunya, husababisha homa na maumivu makali ya viungo.

Virusi vyake huenezwa na mbu  na wataalam wa dawa wanavitaja kuwa “tishio la afya linaloongezeka duniani

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.