Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Mwili wa Mtanzania Alieuawa Israel Waagwa

Mwili wa Mtanzania Alieuawa Israel Waagwa

Mwili wa Mtanzania aliyeuawa nchini Israel, Marehemu Clemence Mtenga umeagwa usiku huu huko Tel Aviv nchini Israel na ibada yake kuhudhuriwa na watanzania kadhaa na wenyeji wao.

Kwa mujibu wa taarifa za awali za Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki mwili huo unatarajiwa kufika nchini Jumamosi hii kwaajili ya mazishi baada ya Watanzania waliopo Israeli kuuaga mwili huo.

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.