Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Wanne wafariki dunia baada ya mtumbwi kupinduliwa na kiboko

Watu wanne wamefariki dunia, wawili wakiwa ni wa familia moja na wengine saba kujeruhiwa baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria wakitokea shambani kupinduliwa na kiboko katika Mto Rufiji, Kijiji cha Mloka mkoani Pwani.

Mkuu wa Wilaya ya Rufiji, Meja Edward Gowelle amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kuwaomba wananchi kutotumia mitumbwi ya asili na badala yake watumie boti za kisasa zilizowekwa rasmi kwa ajili ya kusafirishia watu na kuacha mara moja tabia ya kubeba watu wengi kwenye mitumbwi hiyo.

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.