Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

TANZIA: Mwimbaji maarufu Nchini Afrika Kusini Zahara afariki Dunia

TANZIA: Mwimbaji maarufu Nchini Afrika Kusini Zahara afariki Dunia.
• • • • • •
Waziri wa Sanaa na Utamaduni wa Afrika Kusini Zizi Kodwa amethibitisha kutokea kwa kifo cha Mwimbaji maarufu wa Nchi hiyo aitwaye Bulelwa Mkutukana maarufu kama Zahara (35) ambaye alitamba na nyimbo mbalimbali ikiwemo ‘loliwe’

Zahara amefia Hospitalini Jijini Johannesburg alikokuwa akipatiwa matibabu kutokana na matatizo ya ini yaliyoanza kumsumbua wiki mbili zilizopita.

Kabla ya kifo chake leo, Mwimbaji huyo amekua akizushiwa kifo mtandaoni hivi karibuni hadi kulazimu familia yake kukanusha mara kwa mara na kutaka Watu wamuombee mema.

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.