Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Walifariki baada ya kula uyoga walionunua kwa mama mmoja

“Walifariki baada ya kula uyoga walionunua kwa mama mmoja aliyekuwa anafanya biashara hiyo ya uyoga”.

Siku chache baada ya kamanda wa jeshi la polisi mkoani Mwanza Wilbroad Mutafungwa kutangaza kutokea kwa vifo vya watu wawili kutokana na kula uyoga wenye sumu familia ya Eva Jonas ambyo imepoteza mtu mmoja imezungumza na kueleza namna mtoto wake alivyofariki kwa kula Uyoga.

Eva amesema vijana hao wamefariki dunia baada ya kula uyoga huo ambao waliununua kwa mama mmoja walikutane mtaani akifanya biashara hiyo ya uyoga.

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.