Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Utafiti

UTAFITI: Waishio kando ya Bahari wana afya bora

UTAFITI: Waishio kando ya Bahari wana afya bora

Kwa mujibu wa utafiti uliyofanywa na Dk Lewis Elliott kutoka Chuo Kikuu cha Exeter nchini Uingereza umebaini kuwa watu wanaoishi karibu na mazingira ya ufukwe (kando ya bahari) wana afya bora kuliko waishio mbali na fukwe.

Utafiti huo ulibaini kuwa waishio kando ya bahari wako na hali nzuri ya mwili na akili utafiti huo ukijumuisha watu wanaoishi chini ya kilomita moja hadi wale walio zaidi ya kilomita 50.

Aidha utafiti huo ulimaliza kwa kueleza kuwa kuishi karibu na bahari kunamarisha afya yako kutokana na kuwepo na upepo asili na mazingira tulivu hivyo basi yanayokufanya ujiskie vizuri.

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.