Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

Dalili za Ugonjwa wa UKOMA,Soma Zaidi hapa

Dalili za Ugonjwa wa UKOMA,Soma Zaidi hapa

……………

UGONJWA WA UKOMA PAMOJA NA DALILI ZAKE

Kwa kawaida Ugonjwa wa Ukoma ni ugonjwa ambao huathiri viungo mbali mbali vya mwili wa binadamu kama  Vile Mikono,miguu,Macho,Uso pamoja na Ngozi pia.

BAADHI YA DALILI ZA UGONJWA WA UKOMA NI PAMOJA NA;

– Kukatika baadhi ya Viungo vya Mwili kama vile Vidole vya Miguu au mikono

– Ugonjwa wa ukoma huweza kusababisha Ganzi miguuni au mikononi pia

– Kuhisi hali ya kuchomwa eneo lote la Vidole vya miguuni au mikononi

– Vidole vya miguu pamoja na mikono kupooza

– Ugonjwa huu wa ukoma unaweza kusababisha matatizo ya macho ikiwa ni pamoja na upofu wa macho

– Ugonjwa huu wa ukoma huweza kuwa chanzo kikubwa cha uharibifu wa shape ya Pua pamoja na Uso kwa Ujumla.

– Ugonjwa wa ukoma huweza kubadilisha rangi ya ngozi na kuifanya kuwa nyeusi na kuwa na vitu mithili ya ukurutu Hasa mikononi na miguuni.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.