Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

VITU VINAVYOMKOSESHA FURAHA MWANAMKE

 Moja ya vitu ambavyo vinaweza kukukosesha furaha kama mwanamke ni kuumwa.

.

Leo nazungumzia tabia ambayo inaweza kukuletea ugonjwa wa FANGASI.

.

Kuvaa nguo ya ndani ambayo haijakauka vizuri

.

Kuvaa nguo au mavazi yanayoleta joto sana sehemu za siri kwa muda mrefu kama nguo za kuogelea (swimwear), nguo za ndani (chupi) zilizotengenezwa kwa kitambaa aina ya nylon, nguo za ndani zinazobana sana

.

Kwa kuongezea Mojawapo ya Dalili ya fangasi ambayo unaweza kuipata ni MIWASHO sehem za siri pamoja na kutokwa na uchafu wenye harufu pamoja na rangi kama maziwa

.

Epuka Tabia hii ili kuwa,salama

#fangasi 

#ombenimkumbwa

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!



Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.