Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

Kutopata chanjo ya Polio ni Sababu kuu ya kuongeza hatari ya Mlipuko wa Polio #WHOMalawi

Kutopata chanjo ya Polio ni Sababu kuu ya kuongeza hatari ya Mlipuko wa Polio:

Kufuatia Campain ya Chanjo dhidi ya Polio inayoendelea nchini Malawi, Shirika la afya duniani kwa Upande wa Malawi(WHOMalawi) limeendelea kusisitiza umuhimu wa utoaji wa chanjo hii ya Kuzuia Polio hasa kwa Watoto.

Ifahamike kwamba, Watoto wenye umri wa chini ya Miaka 5 wapo kwenye hatari zaidi ya kupata POLIO.

WHOMalawi: Utoaji mdogo wa chanjo ni sababu kuu ya kuongeza hatari kwa mlipuko wa #polio.

Saidia kutokomeza polio kwa kumwambia rafiki au jirani kuhusu kampeni inayoendelea ya chanjo ya polio nchini #Malawi na umuhimu wa chanjo ya kawaida“routine immunization”.

Campain hii ya utoaji wa chanjo dhidi ya Ugonjwa wa Polio, ni muhimu sana ili kuzuia mlipuko wa Polio,

nchi mbali mbali zimeendesha Campain hii muhimu ya Kuzuia Polio ikiwemo hapa kwetu TANZANIA.

Hakikisha Mtoto wako amepata chanjo hii muhimu ya Kuzuia Ugonjwa wa Polio.

#VaccinesWork
#ProtectAgainstPolio

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.