Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Daktari Bingwa wa Upasuaji wa Nyonga na Goti kutoka Marekani Dkt. Steve Mayer na Dr.mollel

 

Daktari Bingwa wa Upasuaji wa Nyonga na Goti kutoka Marekani Dkt. Steve Mayer na Dr.mollel:

Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel @dr_mollel jioni ya jana amekutana na kufanya mazungumzo na Daktari Bingwa wa Upasuaji wa Nyonga na Goti kutoka Marekani Dkt. Steve Mayer ambaye amekuja kumuunga mkono Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuboresha huduma za matibabu ya kibingwa nchini.

Dkt. Mayers amembana na madakari wengine 55 kuja nchini Tanzania kwa ajili ya kutoa huduma za kubadilisha nyonga na goti.

Serikali ya Rais Dkt Samia inaendelea kufungua mipaka yake nje zaidi kuleta karibu huduma za kibingwa ambapo watalaam hawa watatoa huduma hizo za matibabu bure katika Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Center kuanzia kesho tarehe 11 hadi 17 Agosti, 2023.

Katika mazungumzo hayo Dkt. Mollel ameongozana na mwanasiasa Lazaro Nyalandu ambaye ameratibu ujio wa madaktari hao.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.