Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

Hizi hapa ni Dalili muhimu sana kujua za presha ya macho maarufu kama Glaucoma

Fahamu Moja ya Vitu vya muhimu sana kwa mtu mwenye Presha ya macho ni kuhakikisha anaanza Tiba mapema, Hivo ni muhimu sana kutambua dalili mapema ili endapo zimejitokeza uwahi mara moja kwenye vipimo.

Hizi hapa ni Dalili muhimu sana kujua za presha ya macho maarufu kama Glaucoma;

1. Kuona rangi ya upinde wa mvua wakati unapoangalia taa

2. Kupungua uwezo wa kuona kwa pembeni

3. Kupoteza uwezo wa kuona kabsa

4. Macho na kichwa kuuma

5. Macho kuwa makubwa ua kioo cha jicho kuwa cheupe (Kwa watoto)

Nb; Pima macho angalau mara moja kwa mwaka ili kubaini kama una matatizo yoyote ya macho mapema

” Dunia ni angavu, tunza uoni wako”

Afya yangu,Mtaji wangu

Soma zaidi hapa: Kuhusu Ugonjwa wa Presha ya Macho

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.