Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Zaidi ya watu 300,000 wameathiriwa na tetemeko kubwa la ardhi lililoikumba Morocco

Zaidi ya watu 300,000 wameathiriwa na tetemeko kubwa la ardhi lililoikumba Morocco:

Zaidi ya watu 300,000 huko Marrakesh na viunga vyake wameathiriwa na tetemeko kubwa la ardhi lililoikumba Morocco, Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) inasema.

OCHA Ilisema: “inafuatilia kwa karibu hali hiyo na iko tayari kuunga mkono juhudi”.

Katika taarifa ya awali, Umoja wa Mataifa ulisema uko tayari “kuisaidia serikali ya Morocco katika juhudi zake za kuwasaidia watu walioathirika”.

Waokoaji wanaendelea kuhangaika kutafuta manusura waliofukiwa na vifusi baada ya tetemeko hilo kubwa la ardhi lililoua zaidi ya watu 2,000.

Credits: BBC

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.