Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Maneno ya Paul Makonda leo alivyopokelewa dar baada ya kuteuliwa

Maneno ya Paul Makonda leo alivyopokelewa dar baada ya kuteuliwa

Makonda “Nitafanya kazi kwa uaminifu nisimuabishe Mungu na M/Kiti wa Chama kwa kupeleka jina langu”

Katibu Mwenezi wa Itikadi wa CCM @baba_keagan amekabidhiwa ofisi na kuzungumza kuhusu majuhukumu yake mpya huku akisema atakuwa mwaminifu ili asimuangushe Mungu pamoja na Mwenyekiti wa Chama Rais Samia Hassan Suluhu.

Makonda amesema atajifunza kwa viongozi waliomtangulia kama Shaka, Sophia Mjema pamoja na Nape Nnauye ili aweze kutekeleza vyema majukumu yake hayo mapya ndani ya siasa.

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.