Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
afyatipsMagonjwamagonjwa ya wanaumemagonjwa ya wanawakemagonjwa ya watoto

FAIDA ZA KUTUMIA DARK CHOCOLATE KAMA WEWE NI MWANAFUNZI

ZIJUE FAIDA ZA KUTUMIA DARK CHOCOLATE KAMA WEWE NI MWANAFUNZI

• • • • • •

Pengine huu siyo msimu mzuri sana kwa wanafunzi kutokana na wingi wa kazi na kufanya na uwepo wa muda mchache sana kwa kuzikamilisha kazi hizi. Katika nyakati hizi ngumu,dark chocolate inaweza kukusaidia kuboresha utendaji kazi wa ubongo wako hasa katika kuchakata taarifa na kutunza kumbukumbu za mambo yako unayosoma pamoja na kukupunguzia stress

Dark chocolate zina utajiri mkubwa wa flavonoids na theobromine,ambazo huboresha usafirishwaji wa mawimbi ya taarifa kwenye sehemu ya ubongo inayoitwa hippocampus ambayo ndiyo huhusika na utunzaji wa taarifa mbalimbali. Vivyo hivyo,dark chocolate huboresha utendaji kazi za cerebrum,sehemu ya ubongo inayohusika na kusoma,kuwaza,kujifunza,hisia pamoja na matendo ya hiari yanayofanywa na misuli ya mwili kama vile kutembea

Unapohisi mambo yamekuwa mazito kwako,kichwa kimejaa kabisa na hakiwezi tena kupokea mafaili unayopakia kula kipande chako cha dark chocolate,tulia kidogo kisha endelea na kazi!.cc.afyainfo


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!




Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass