Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

UNACHOTAKIWA KUJUA KUHUSU UGONJWA WA HOMA YA NYANI(MONKEY POX)

UNACHOTAKIWA KUJUA KUHUSU UGONJWA WA HOMA YA NYANI(MONKEY POX)

– Ugonjwa huu unajulikana kama MonkeyPox kwa sababu kwa mara ya kwanza umepatikana kwa nyani(Monkey)

– Watu wengi hupona wenyewe bila tiba zaidi ila Wachache huweza kuumwa serious zaidi

– Ugonjwa huu huambatana na dalili mbali mbali kama vile;

• Kupata Upele kwenye maeneo mbali mbali ya mwili kama vile; Usoni, kwenye mikono,miguuni,mdomoni, sehemu za siri n.k

• Mgonjwa kupata homa

• Kuvimba kwa Lymph nodes

• Maumivu makali ya kichwa

• Maumivu ya misuli,viungo,joints pamoja na maumivu ya mgongo

• Mwili kuchoka kuliko kawaida

SOMA ZAIDI HAPA: Ugonjwa wa Homa ya Nyani(MonkeyPox)

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.