Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Unapokuwa na upungufu wa vitamini A, unaweza kuwa na ngozi kavu, yenye magamba, pamoja na midomo yako

Unapokuwa na upungufu wa vitamini A, unaweza kuwa na ngozi kavu, yenye magamba, pamoja na midomo yako. Ili kupata Vitamin A zaidi, hiki ndicho cha kula:

Mojawapo ya kazi nyingi za vitamini A ni kukuza na kudumisha tishu zinazofunika mwili wako, ndani na nje. Unapokuwa na upungufu wa vitamini A, unaweza kuwa na ngozi kavu, yenye magamba, pamoja na midomo yako.

Kama una tatizo kama hili,ili kupata kirutubisho hiki zaidi, kula:

– Mboga za Majani kama mchicha,

– Kula viazi vitamu na karoti

– Kula Matunda kama; machungwa, tikitimaji na parachichi

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.