Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Uzazi/Ujauzito

Dalili za Mara kwa Mara za Malaria katika Ujauzito

Dalili za Mara kwa Mara za Malaria katika Ujauzito;

Hizi hapa ni dalili ambazo Mara nyingi hutokea kwa Mama Mjamzito mwenye Malaria,

– Kupata Homa

– Kuhisi Kichefuchefu pamoja na kutapika

– Kupata Maumivu ya kichwa

– Kupata Maumivu ya Viungo

– Kupungua kwa hamu ya kula n.k

Hivo ni vizuri zaidi Mama mjamzito kwenda hosptal kufanya vipimo baada ya kuona dalili kama hizi,

Epuka dhana ya kusema hii ni UTI,hivo unaanza dawa za UTI,fanya vipimo kwanza, wakati mwingine unaweza kuwa na ugonjwa wa Malaria.

Wakina mama wajawazito LAZIMA watafute matibabu kutoka katika kituo cha afya ndani ya kipindi cha chini ya saa 24 baada ya dalili za Malaria kuanza.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.