Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

LIST YA MAGONJWA AMBAYO HUWEZA KUSABABISHA MTU KUKOSA HAMU YA CHAKULA

 APPETITE

• • • • •

LIST YA MAGONJWA AMBAYO HUWEZA KUSABABISHA MTU KUKOSA HAMU YA CHAKULA


Magonjwa haya huweza kutokana na maambukizi ya vimelea mbali mbali vya magonjwa kama vile; PARASITE,BACTERIA,FANGASI,VIRUSI N.K


LIST YA MAGONJWA AMBAYO HUWEZA KUSABABISHA MTU KUKOSA HAMU YA CHAKULA


1. Ugonjwa wa malaria


2. Maambukizi kwenye ngozi ya mwili


3. Maambukizi kwenye njia ya hewa yaani upper respiratory infection


4. Ugonjwa wa Pneumonia


5. Ugonjwa wa kuvimba kwa mfumo wa chakula yaani Gastroenteritis


6. Tatizo la kuvimba utumbo mkubwa yaani Colitis


7. Magonjwa ya kudumu au muda mrefu ya ini yaani Chronic liver disease


8. Tatizo la moyo kufeli na kushindwa kufanya kazi


9. Tatizo la figo kufeli


10. Ugonjwa wa homa ya Ini


11. Maambukizi ya virusi vya UKIMWI


12. Tatizo la tezi aina ya thyroid kuzalisha hormone chache yaani Hypothyroidism


13. Aina mbali mbali za kansa kama vile;


• Kansa ya kongosho(pancrease)


• Kansa ya utumbo mkubwa


• Kansa ya tumbo


• Kansa ya vifuko vya mayai n.k


14. Hali ya kuwa mjamzito, hasa katika miezi mitatu ya mwanzoni yaani First trimester


KUMBUKA; Kuna Matumizi ya baadhi ya dawa ambayo pia huweza kusababisha hamu ya chakula kupotea kama vile;


• Dawa za chemotherapy


• morphine


• codeine


• na baadhi ya antibiotics


N.K


KWA USHAURI ZAID,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.


Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.