Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

DALILI ZA TB KWA MTOTO

DALILI ZA TB KWA MTOTO

Source:Wizara ya Afya | Idara ya Kinga
Kitengo cha Elimu ya Afya kwa Umma.

DALILI ZA KIFUA KIKUU (TB) KWA MTOTO MDOGO

• Kikohozi kwa wiki 2 au zaidi

• Homa za mara kwa mara kwa wiki
mbili au zaidi

• Kupungua/kutoongezeka uzito au
kudumaa

• Kuchelewa kukua kama vile
kutambaa au kutembea

• Mtoto kukosa raha; kulialia
kutochangamka au kutocheza

Uonapo mojawapo ya dalili hizi mpeleke mtoto kwenye kituo cha huduma za afya kwa uchunguzi na matibabu

“OKOA MAISHA WEKEZA KATIKA KUTOKOMEZA KIFUA KIKUU NCHINI”

@Elimu ya Afya

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.