Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

Magonjwa ambayo huweza kuzuiwa kwa Njia ya CHANJO

Magonjwa ambayo huweza kuzuiwa kwa Njia ya CHANJO

Haya hapa ni baadhi ya magonjwa ambayo mojawapo ya njia ya kupambana nayo ni kujikinga kwa Kutumia Chanjo:

1. Saratani ya Mlango wa Kizazi(Cervical cancer)

2. Ugonjwa wa Kipindu pindu(Cholera)

3.Tatizo la UVIKO 19(COVID-19)

4. Tatizo la Diphtheria

5. Ugonjwa wa Ebola

6. Ugonjwa wa Homa ya Ini yaani Hepatitis B

7. Kirusi cha Human papilloma Virus(HPV)
8. Kirusi cha Influenza

9. Tatizo la Japanese encephalitis

10. Ugonjwa wa Malaria

11. Ugonjwa wa Surua,Measles

12. Ugonjwa wa Kupooza maarufu kama POLIO

13. Tatizo la Meningitis,Mumps,Pertussis,Rabies n.k

14. Ugonjwa wa kuharisha unaosababishwa na Rotavirus

15. Tatizo la homa ya manjano(yellow fever)

16. Tatizo la Pepopunda maarufu kama Tetanus,Rubella,kifaduro n.k

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.