News
Watalii watakaopata changamoto za afya pindi watakapokuwa Mlima Kilimanjaro kupokelewa na Ndege#Tropic Air
Watalii watakaopata changamoto za afya pindi watakapokuwa Mlima Kilimanjaro kupokelewa na Ndege#Tropic Air.
Hospitali ya Rufaa ya kanda ya kaskazini-KCMC imeingia makubaliano na kampuni ya ndege Tropic Air kupokea watalii watakaopata changamoto za afya pindi watakapokuwa Mlima Kilimanjaro,
#PICHA: Ni Wafanyakazi wa Idara ya Dharura Dkt. Frank Halla,Kelvin Tairo na Dereva Sadiki Wakimpokea mgonjwa(wakwanza kushoto) alieletwa na helikopta kutoka Mlima kilimanjaro.
Credits: #Picha KCMC Habari.