Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Tukio la Mwanamke mmoja kuolewa na Wanaume wawili(polyandrous)

Mwanamke mmoja ambaye yupo katika uhusiano wa polyandrous aonyesha waume zake wawili na watoto wao,

Tukio hilo limetokea,Baada ya Siku ya Alhamisi huko Marekani, mwanamke huyo anayejulikana kwa jina la Passion Jones kutoa shukurani zake,

Passion alipiga picha na wanaume wawili ambao anaishi nao pamoja na watoto zao.

Aliongeza kwenye nukuu kwamba alishukuru kwa “ujasiri na uhalisi wa kuishi kwa sauti kubwa na familia nzuri kama hii”.

Wafuasi wake pia waliungana naye katika kusherehekea familia yake, huku wengine wakitaja kuwa wanataka vivyo hivyo kwao wenyewe.

Tukio hili limeshangaza wengi, huku kukiwa na maoni tofauti ya watu, hasa ukizingatia Misingi ya Kidini na amri za Mungu…!!!!

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.