Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Nahisi Dalili zote za Mimba ila toka Nijifungue Sijaona Hedhi yangu

Wanawake wengi baada ya Kujifungua husubiri kwanza mpaka waanze kuona hedhi,ndipo waanze kuchukua tahadhari ya Kujikinga na mimba,

tabia hii imefanya wanawake wengi kubeba mimba wakati bado wana watoto wadogo kabsa,

Unachotakiwa kujua ni kwamba hedhi ni matokeo kwamba hakuna Mimba au Urutubishaji wa Yai,

Hivo kama mzunguko wako wa hedhi umerudi sawa,unaweza beba mimba hata kabla ya kuona hedhi tena,

Chukua tahadhari.!!!!

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.