Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Uzazi/Ujauzito

Tatizo la miguu kukaza na maumivu ya misuli wakati wa UJAUZITO

Tatizo la miguu kukaza na maumivu ya misuli wakati wa UJAUZITO

Tatizo la miguu kukaza na maumivu ya misuli huweza kutokea wakati wa Ujauzito hasa kwenye miezi mitatu ya kati au miezi mitatu ya mwisho ya ujauzito,

Tatizo hili huweza kusababishwa na Sababu mbali mbali ikiwemo;

  • uzito wa mwili Kuongezeka wakati wa ujauzito,
  • kubadilika kwa maumbile ya mwili, na mijongeo ya mwili (biomechanics).

Maumivu haya huweza pia kusababishwa na uhifadhi wa maji mwilini (fluid retention) na ulegevu wa maungio ya mwili (joint laxity).

Maumivu haya wakati wa ujauzito yanaweza kuwa na athari kwa maisha ya kila siku na kusababisha mabadiliko katika usingizi na namna ya kulala.

Ikiwa una Shida hii unaweza kuongea na Wataalam wa afya ili kupata Ushauri na Tiba Au;

 KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU NA TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.